TANZIA – Mwili wa aliyekuwa Afisa Habari wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) Bathromea Chilwa Chiwiko kuagwa Machi 06 2023 Nyumbani kwake Michese Jijini Dodoma

Na Barnabas Kisengi Dodoma. Chama Cha Waandishi wa Habari mkoa wa Dodoma Center Prees Clabu (CPC) kimepokea kwa masikito makubwa kufuatia kifo cha aliyekuwa  Mwandishi wa Habari na Afisa Habari wa Chama Cha walimu Tanzania CWT Bathromea Chilwa Chiwiko  kilichotokea Jumamosi March 04 2023 katika hospital ya Rufaa ya Benjamini Mkapa Jijini Dodoma. Akizungumza na J